Maelezo ya Chini
c Ukihisi kwamba sala zako zinazuiwa kwa sababu ya dhambi nzito uliyofanya, usikose kuzungumza na wazazi wako. Pia, ‘waite wanaume wazee wa kutaniko wakusaidie.’ (Yakobo 5:14) Wazee wanaweza kukusaidia usitawishe tena uhusiano mzuri pamoja na Mungu.