Maelezo ya Chini
a Mara nyingi, matatizo ya kujifunza huambatana na Tatizo la Upungufu wa Makini Kutokana na Utendaji wa Kupita Kiasi (ADHD), tatizo ambalo huonekana mtoto anapokuwa mwenye umachachari, kufanya mambo haraka-haraka, na kutokuwa na uwezo wa kukaza fikira. Ona Amkeni! la FebruariĀ 22, 1997 (22/2/1997), ukurasa wa 5-10.