Maelezo ya Chini
a Katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, andiko la Yeremia 39:3 linasema hivi: “Samgar-nebo, Sarsekimu, Rabsarisi,” kupatana na maandishi ya Kiebrania ya Wamasora. Lakini maandishi ya konsonanti ya Kiebrania yanaweza kusomwa hivi: “Samgar, Nebo-sarsekimu yule Rabsarisi [au, Ofisa Mkuu wa Makao ya Kifalme],” ambayo yanapatana na maandishi yaliyo kwenye bamba hilo la udongo.