Maelezo ya Chini
a Kama ilivyokuwa katika karne ya kwanza, leo Wakristo fulani waaminifu ni matajiri. Hata hivyo, Mungu anawaonya kwamba wasitegemee wala kukengeushwa na mali zao. (Methali 11:28; Marko 10:25; Ufunuo 3:17) Wakristo wote, wawe matajiri au maskini, wanapaswa kukazia fikira kufanya mapenzi ya Mungu.—Luka 12:31.