Maelezo ya Chini
a Ingawa dundumio linalotoa homoni chache sana linaweza kuhatarisha mimba, wanawake wengi wenye ugonjwa katika dundumio huzaa watoto wenye afya. Hata hivyo, ni muhimu sana kwa mama kupata matibabu ya kuongeza homoni mwilini, kwa kuwa mwanzoni yeye ndiye humpa mtoto wake ambaye hajazaliwa homoni za dundumio.