Maelezo ya Chini
a Ikiwa ungependa kujifunza Biblia bila malipo wakati na mahali panapokufaa, twakualika uwasiliane na Mashahidi wa Yehova kwenye Jumba la Ufalme au mojawapo ya ofisi za tawi zilizoorodheshwa kwenye ukurasa wa 5. Au uwasiliane na Mashahidi wa Yehova kwenye kituo cha Intaneti www.watchtower.org.