Maelezo ya Chini
a Ikiwa unajiuliza ikiwa Mkristo anapaswa kuepuka kahawa na chai kwa sababu vinywaji hivyo vina dawa ya kafeini inayoweza kutokeza uraibu, huenda ukapenda kusoma makala ya “Maswali Kutoka kwa Wasomaji” katika Mnara wa Mlinzi la Aprili 15, 2007 (15/4/2007).