Maelezo ya Chini
a Astronomia ni elimu inayohusu nyota, sayari, na mata ulimwenguni. Kosmolojia ni kitengo fulani cha astronomia, “elimu ya muundo na ukuzi wa ulimwengu na nguvu zinazotenda ndani yake,” kinasema kitabu The World Book Encyclopedia. “Wanakosmolojia wanajaribu kueleza jinsi ulimwengu ulivyotokea, mambo ambayo yametukia tangu ulipotokea, na mambo yatakayoupata wakati ujao.”