Maelezo ya Chini
a Katika Biblia, “nafsi” humaanisha mtu mzima—si kitu tofauti na mwili wake. Mwanzo 2:7 linasema: “Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi ya nchi na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai, naye mtu akawa nafsi hai.” Adamu hakupewa nafsi kando na mwili. Badala yake, Adamu mwenyewe alikuwa nafsi hai.