Maelezo ya Chini
c Kulingana na Biblia, msingi pekee wa talaka kukiwa na uwezekano wa kufunga ndoa tena ni ngono nje ndoa. (Mathayo 19:9) Mwenzi mmoja anapokosa kuwa mwaminifu, mwenzi asiye na hatia—si watu wa familia au wengine—ndiye atakayeamua ikiwa atamtaliki.—Wagalatia 6:5.