Maelezo ya Chini
a “Waandishi wote Wakristo walioishi kabla ya Konstantino [maliki wa Roma wa 306-337 W.K.] walipinga mauaji yaliyotokea vitani,” kinasema kitabu Encyclopedia of Religion and War. Mtazamo huo ulibadilika uasi-imani uliotabiriwa katika Biblia ulipoanza kuenea.—Matendo 20:29, 30; 1 Timotheo 4:1.