Maelezo ya Chini
a Gazeti la eneo hilo Gibraltar Chronicle, liliripoti hivi: “Kwenye mwisho wa juma ambao dhoruba ilisababisha uharibifu mwingi sana, Mashahidi wa Yehova wa Gibraltar . . . walikamilisha ujenzi wa hekalu lao [Jumba la Ufalme] katika muda wa siku tatu tu kwa msaada wa jeshi kubwa la wajitoleaji.”