Maelezo ya Chini
a Zaidi ya kufanya ngono, neno “uasherati” linalotajwa katika Biblia linatia ndani matendo mengine pia kati ya watu ambao hawajaoana kama vile kumpiga mtu mwingine punyeto na pia ngono ya kinywa na ulawiti au ufiraji. Kwa habari zaidi, ona kitabu Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 2, ukurasa wa 42-47.