Maelezo ya Chini
a Ona pia kwamba mamlaka ya mwanamume kutanikoni ina mipaka. Anajitiisha kwa Kristo na lazima atende kupatana na kanuni za Biblia. (1 Wakorintho 11:3) Wale walio na madaraka kutanikoni wanapaswa pia ‘kujitiisha kwa mmoja na mwenzake,’ wakijinyenyekeza na kushirikiana.—Waefeso 5:21.