Maelezo ya Chini
a Mashahidi wa Yehova hawakujitungia jina “Yehova.” Karne nyingi zilizopita, lugha kadhaa ambazo hazikutumiwa kuandika Biblia kutia ndani Kiingereza na Kijerumani, zilitumia jina la Mungu “Yehova.” Jambo la kusikitisha ni kwamba watafsiri wa kisasa wameliondoa jina la Mungu na badala yake kutumia majina ya cheo kama vile, “Mungu” na “Bwana,” hivyo wakimkosea heshima Mtungaji wa Biblia.