Maelezo ya Chini
a Dhamiri za watu hutofautiana, ikitegemea malezi ya kidini na pia ukomavu wa kiroho. Jambo kuu ni kwamba kila mtu anapaswa kudumisha dhamiri safi mbele za Mungu na asisumbue dhamiri za watu wengine kutia ndani watu wa familia. Waroma 14:10, 12 linasema kwamba “sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.”