Maelezo ya Chini
c Maneno “kubalehe” na “tineja” hayapatikani katika Biblia. Ni wazi kwamba vijana waliokuwa miongoni mwa watu wa Mungu katika nyakati za kabla ya Ukristo na katika enzi za Ukristo walikomaa wakiwa na umri mdogo kuliko ilivyo katika jamii nyingi leo.