Maelezo ya Chini
a James alizaliwa mwaka wa 1566 na katika mwaka wa 1567 akatawazwa kuwa Mfalme James wa Sita wa Scotland. Alipotawazwa kuwa Mfalme James wa Kwanza wa Uingereza katika mwaka wa 1603, akawa mtawala wa nchi zote mbili. Katika mwaka wa 1604, akaanza kutumia jina la cheo “Mfalme wa Uingereza.”