Maelezo ya Chini
a Katika maandishi ya awali ya Biblia, hasa yale yaliyoandikwa katika Kiebrania na Kigiriki, jina la Mungu linapatikana mara 7,000 hivi. Kwa kusikitisha, tafsiri nyingi za kisasa zinatumia majina ya Mungu ya cheo badala ya jina lake takatifu.