Maelezo ya Chini
b Kwa sababu vita vingi vya kukata maneno vilipiganwa katika eneo hilo, neno “Megido” likaja kuhusianishwa na vita vinavyojulikana sana vinavyoitwa Har–Magedoni—Har–Magedon katika Kiebrania. Biblia inahusianisha Har–Magedoni na “vita vya ile siku kuu ya Mungu Mweza-Yote.”—Ufunuo 16:14, 16.