Maelezo ya Chini
c Ona 1 Mambo ya Nyakati 1:27-34; 2:1-15; 3:1-24. Wakati wa utawala wa Rehoboamu, mwana wa Mfalme Sulemani, taifa la Israeli liligawanywa kuwa ufalme wa kaskazini na ufalme wa kusini. Baada ya hapo, wafalme wawili walitawala Israeli wakati uleule.—1 Wafalme 12:1-24.