Maelezo ya Chini
d Kuna habari nyingi sana ya kinabii kumhusu Masihi katika Isaya 52:13–53:12. Kwa mfano, Isaya 53:7 inasema: “Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni . . . Yeye pia hakufungua kinywa chake.” Mstari wa 10 unaongezea kwamba alitoa nafsi yake kuwa “toleo la hatia.”