Maelezo ya Chini
f Yesu “hakufanya dhambi” na hivyo hakustahili kufa. (1 Petro 2:22) Badala yake, alitoa uhai wake kwa ajili yetu, akalipia dhambi zetu na kutukomboa kutokana na utumwa wa kifo. Kwa hiyo, kifo cha Yesu kinaitwa dhabihu ya “fidia.” (Mathayo 20:28) Kwa habari zaidi kuhusu jambo hilo, ona kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? kinachopatikana katika Tovuti ya www.jw.org.