Maelezo ya Chini
d Mara nyingi, kujiumiza ni dalili za kushuka moyo au ugonjwa mwingine. Katika visa kama hivyo huenda ingefaa kumwona daktari. Amkeni! halipendekezi tiba yoyote hususa. Hata hivyo, Wakristo wanapaswa kuhakikisha kwamba matibabu yoyote wanayochagua hayapingani na kanuni za Biblia.