Maelezo ya Chini
a Mungu aliruhusu Israeli la kale kushiriki vita ili kulinda mipaka yake. (2 Mambo ya Nyakati 20:15, 17) Hali hiyo ilibadilika Yehova alipovunja agano na Israeli na kuanzisha kutaniko la Kikristo ambalo halina mipaka.
a Mungu aliruhusu Israeli la kale kushiriki vita ili kulinda mipaka yake. (2 Mambo ya Nyakati 20:15, 17) Hali hiyo ilibadilika Yehova alipovunja agano na Israeli na kuanzisha kutaniko la Kikristo ambalo halina mipaka.