Maelezo ya Chini
e Katika makala yake kuhusu madhara ya kutiwa damu mishipani, Clinical Excellence Commission New South Wales (Australia) Health, inasema hivi: “Kutiwa damu mishipani ni sawa na kupandikiza tishu iliyo hai katika mwili. Kwa asili, mwili wa binadamu hukataa kitu chochote kipya kinachowekwa katika mwili. Ni muhimu sana kulinda hali njema ya mwili.”