Maelezo ya Chini
a Tofauti na maoni ya watu, Biblia haiungi mkono dhana ya kwamba Mungu aliumba dunia kwa siku sita zenye urefu wa saa 24. Kwa habari zaidi, ona ukurasa wa 24-27 wa broshua Uhai—Ulitokana na Muumba? Broshua hiyo imechapishwa na Mashahidi wa Yehova na unaweza kuipakua bila malipo kwenye Tovuti ya www.jw.org/sw.