Maelezo ya Chini
a Tafsiri nyingi za Biblia zimeondoa jina la Mungu na badala yake kutumia jina la cheo “BWANA” kwa herufi kubwa, ilhali nyingine zimetaja jina la Mungu katika mistari michache tu au katika maelezo ya chini. Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya imetumia jina la Mungu mara nyingi katika maandiko yote.