Maelezo ya Chini
b Karibu wenye kuamini katika utatu wameacha kutaja maneno ya “Baba, na, Neno, na Roho Mtakatifu: na watatu hawa ni umoja” yanayoonekana katika tafsiri fulani za Biblia katika 1 Yohana 5:7. Wataalamu wa maneno yenyewe hukubali kwamba maneno haya ni nyongeza ya uongo ya baadaye kwa maandishi ya awali yaliyoongozwa na roho ya Mungu.