Maelezo ya Chini
b Kwa mfano, Hekatayo wa Abdera, mwanahistoria wa karne ya nne K.W.K., amenakiliwa na Yosefo katika kitabu Against Apion, Kitabu 1:22, kuwa aliandika hivi: “Wayahudi wana ngome nyingi na vijiji vingi katika sehemu mbalimbali za nchi, lakini wana mji mmoja tu wenye boma, ulio na mwendo wa mzunguko wa mastade 50 [karibu futi 33,000] na wakaaji kama 120,000; wanauita Yerusalemu.”