Maelezo ya Chini
c Kwa hiyo watunga kamusi fulani wanafahamu neno hili ‘oh·lam΄ lililotumiwa katika Mhubiri 1:4 kuwa na maana ya “milele.” Zaïre Swahili Bible, Revised Standard Version, The Jerusalem Bible, The Bible in Living English, Union Version na Biblia nyingine zinatafsiri hivyo.