Maelezo ya Chini c Mapambo ya ndani na samani za hekalu la Solomoni yalikuwa yenye kufanyizwa kwa dhahabu au yalifunikwa nayo, lakini shaba ilitumiwa katika kutolea ua vifaa.—1 Wafalme 6:19-23, 28-35; 7:15, 16, 27, 30, 38-50; 8:64.