Maelezo ya Chini
a Katika Kiebrania cha awali kwenye Isaya 44:6, hakuna neno dhihirisho pamoja na maneno “wa kwanza” na “wa mwisho,” hali katika elezeo la Yesu kuhusu yeye binafsi katika Kigiriki cha awali kwenye Ufunuo 1:17, linapatikana lile neno dhihirisho. Kwa hiyo, kisarufi, Ufunuo 1:17 huonyesha mtajo wa cheo, hali Isaya 44:6 huelezea Uungu wa Yehova.