Maelezo ya Chini
b Lile neno la Kigiriki agʹge·los (linalotamkwa “anʹge·los”) humaanisha “mjumbe” na vilevile “malaika.” Kwenye Malaki 2:7, kuhani Mlawi anarejezewa kuwa “mjumbe” (Kiebrania, “mal·’akhʹ”).—Ona kielezi cha chini cha New World Translation Reference Bible.