Maelezo ya Chini
c Tofauti na nzige, majeshi ya wapanda-farasi yaliyoonwa na Yohana hayakuvaa “kilichoonekana kuwa mataji kama dhahabu.” (Ufunuo 9:7, NW) Hili linapatana na uhakika wa kwamba umati mkubwa, ambao leo ndio sehemu iliyo kubwa zaidi ya majeshi ya wapanda-farasi hautumaini kutawala katika Ufalme wa Mungu wa kimbingu.