Maelezo ya Chini
b “Abiso” (Kigiriki, aʹbys·sos; Kiebrania, tehohmʹ) hurejezea kimfano mahali pa kutotenda. (Ona Ufunuo 9:2.) Hata hivyo, katika maana halisi, inaweza pia kurejezea bahari kubwa mno. Mara nyingi neno la Kiebrania hutafsiriwa “kilindi cha maji.” (Zaburi 71:20; 106:9; Yona 2:5, NW) Hivyo, “hayawani-mwitu ambaye hupanda kutoka katika abiso” anaweza kutambulishwa na ‘hayawani-mwitu anayepanda kutoka katika bahari.’—Ufunuo 11:7; 13:1, NW.