Maelezo ya Chini
d Hali inaweza kulinganishwa na ile ya mtumwa mwaminifu na mwenye uangalifu ambaye hutoa chakula kwa watu wa nyumbani kwenye wakati unaofaa. (Mathayo 24:45, NW) Mtumwa akiwa baraza ana daraka la kugawa chakula, lakini watu wa nyumbani, washiriki mmoja mmoja wa baraza hilo, huruzukwa kwa kushiriki uandalizi huo wa kiroho. Wao ni kikundi kile kile lakini kikielezwa kwa maneno tofauti—kwa ujumla na wakiwa mmoja mmoja.