Maelezo ya Chini
b Utumizi ulio kama huo wa “kiti cha ufalme” huonekana katika maneno anayoambiwa Yesu kiunabii: “Mungu ndiye kiti cha ufalme chako kwa wakati usio dhahiri, hata milele.” (Zaburi 45:6, NW) Yehova ndiye chimbuko au msingi, wa mamlaka ya kifalme ya Yesu.