Maelezo ya Chini
b Katika Novemba 20, 1940, Ujeremani, Italia, Japani, na Hungary zilitia sahihi kwa ajili ya “Ushirika wa Mataifa mpya,” ikifuatwa siku nne baadaye na msambazo-redio wa Vatikani wa Misa na sala kwa ajili ya amani ya kidini na kwa ajili ya utaratibu mpya wa mambo. Huo ‘Ushirika mpya’ haukutokea.