Maelezo ya Chini
a Maandiko mengine husema kwamba Yesu alikuwa katika Hadesi alipokuwa mfu. (Matendo 2:31, NW) Hata hivyo, haitupasi kukata maneno kwamba Hadesi na abiso sikuzote ni kitu kile kile. Ingawa hayawani-mwitu na Shetani huenda ndani ya abiso, ni wanadamu pekee ndio husemwa kuwa wanaenda kwenye Hadesi, wanamokuwa wamelala katika kifo mpaka ufufuo wao.—Ayubu 14:13; Ufunuo 20:13, NW.