Maelezo ya Chini
b Shoka (Kigiriki, peʹle·kus) laonekana kuwa ndilo lililokuwa chombo cha kimapokeo cha kufisha katika Roma, ingawa kufikia siku ya Yohana upanga ulitumiwa kikawaida zaidi. (Matendo 12:2) Kwa hiyo, neno la Kigiriki lililotumiwa hapa, pe·pe·le·kis·meʹnon (“-liouawa kwa shoka”), lamaanisha tu “-liouawa.”