c Angalia kwamba usemi “mataifa” mara nyingi hurejezea wale ambao si wa Israeli wa kiroho. (Ufunuo 7:9; 15:4; 20:3; 21:24, 26, NW) Tumizi la usemi huo hapa halidokezi kwamba aina ya binadamu itaendelea kuwa imepangwa katika vikundi vya kitaifa vyenye kutengana wakati wa Utawala wa Miaka Elfu.