Maelezo ya Chini
a Twasema “kwa kawaida,” kwa sababu miujiza fulani katika Biblia yaweza kuwa ilihusisha matukio ya asili, kama vile matetemeko ya ardhi au maporomoko ya ardhi. Hata hivyo, yangali huonwa kuwa miujiza kwa sababu mambo hayo yalitukia wakati ule ule yalipohitajiwa na kwa hiyo bila shaka kwa mwelekezo wa Mungu.—Yoshua 3:15, 16; 6:20.