Maelezo ya Chini
a Kulikuwako angalau matetemeko ya dunia matano kati ya 1914 na 1918 yaliyoonyeshwa kuwa yenye ukubwa wa 8 au zaidi kwenye skeli (kipimo) ya Richter—yenye nguvu zaidi ya lile tetemeko la dunia katika Abruzzi. Hata hivyo, mitikisiko hii ilikuwa katika maeneo ya mbali ya tufe, na hivyo hayakuvuta fikira sana kama lile tetemeko la Italia.5