Maelezo ya Chini
b Neno “Confucius” ni utohozi wa Kilatini wa K’ung-fu-tzu la Kichina, maana yake “K’ung aliye Bwana.” Makasisi Wayesuiti waliokuja China katika karne ya 16 walibuni jina hilo la Kilatini walipopendekeza kwa papa wa Roma kwamba Confucius afanywe “mtakatifu” wa Kanisa la Roma Katoliki.