Maelezo ya Chini
e Wakati wa kipindi cha Wamakabayo (Wahasmona, kutoka 165 mpaka 63 K.W.K.), viongozi Wayahudi kama vile John Hirkano hata walilazimisha wongofu wa kadiri kubwa wa kukubali Dini ya Kiyahudi kwa kutumia vita ya kutiisha. Ni jambo la kupendeza kwamba mwanzoni mwa Wakati wa Kawaida, asilimia 10 ya ulimwengu wa Mediterrania ilikuwa ya Kiyahudi. Tarakimu hiyo yaonyesha wazi uvutano wa wongofu wa Kiyahudi.