Maelezo ya Chini
b Neno la Kigiriki e·piʹsko·pos kwa uhalisi humaanisha ‘mmoja anayetazama juu ya.’ Katika Kilatini likawa episcopus, na katika Kiingereza cha Kale likageuzwa kuwa “biscop” na baadaye, katika Kiingereza cha Enzi ya Katikati, kuwa “bishop.”