Maelezo ya Chini
a “Qurani” (ambayo maana yake ni “Kukariri”) ndio mwendelezo unaopendelewa na waandikaji Waislamu na ndio tutakaotumia humu. Inapasa kuangaliwa kwamba Kiarabu ndiyo lugha ya awali ya Qurani, na tafsiri ya Kiswahili haikubaliwi kila mahali. Katika manukuu namba ya kwanza yawakilisha sura, na ya pili namba ya aya.