Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Tafsiri nyingi za kisasa hushuhudia kwamba “miaka kama mia nne na hamsini” ya Matendo 13:19 hailingani na kipindi cha waamuzi bali ni kabla yacho; yaelekea kuhusisha kipindi cha tangu kuzaliwa kwa Isaka katika 1918 K.W.K. hadi kugawanywa kwa Bara la Ahadi katika 1467 K.W.K. (Insight on the Scriptures, Buku 1, ukurasa 462) Utaratibu ambao waamuzi watajwa katika Waebrania 11:32 ni tofauti na ule katika kitabu cha Waamuzi, lakini uhakika huo haudokezi kwa lazima kwamba matukio katika Waamuzi hayafuati utaratibu wa kronolojia (tarehe za matukio), kwa maana bila shaka Samweli hakufuata Daudi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki