Maelezo ya Chini
c Wanahistoria fulani Wayahudi hudai kwamba mjukuu huyu wa Eliashibu aliitwa Manase na kwamba, yeye na baba-mkwe wake, Sanbalati, alijenga hekalu juu ya Mlima Gerizimu, ambalo likawa kitovu cha ibada ya Kisamaria na ambamo alitumikia akiwa kuhani wakati wa maisha yake. Gerizimu ndio ule mlima unaorejezewa na Yesu kwenye Yohana 4:21.—The Second Temple in Jerusalem, 1908, W. Shaw Caldecott, kurasa 252-5; ona Mnara wa Mlinzi (Kiingereza), Julai 15, 1960, kurasa 425-6.